Waamuzi 6:24 Biblia Habari Njema (BHN)

Gideoni akamjengea Mwenyezi-Mungu madhabahu huko na kuyaita, “Mwenyezi-Mungu ni Amani.” Madhabahu hiyo iko huko Ofra, mji wa Wabiezeri, mpaka leo.

Waamuzi 6

Waamuzi 6:17-32