Waamuzi 6:22 Biblia Habari Njema (BHN)

Ndipo Gideoni akatambua kwamba huyo alikuwa malaika wa Mwenyezi-Mungu; akasema, “Ole wangu, ee Bwana Mwenyezi-Mungu, maana nimemwona malaika wako uso kwa uso.”

Waamuzi 6

Waamuzi 6:13-32