Waamuzi 4:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Mimi nitamchochea Sisera, jemadari wa jeshi la Yabini, aje na majeshi na magari yake kupigana nawe kwenye mto Kishoni, na kumtia mikononi mwako.’”

Waamuzi 4

Waamuzi 4:4-16