Waamuzi 4:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Mwenyezi-Mungu akawatia mikononi mwa Yabini, mfalme wa Kanaani, ambaye aliishi huko Hazori. Kamanda wa jeshi lake alikuwa Sisera, mwenyeji wa Harosheth-hagoimu.

Waamuzi 4

Waamuzi 4:1-11