Waamuzi 21:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi wakakumbuka kwamba sikukuu ya Mwenyezi-Mungu iliyofanyika kila mwaka huko Shilo, mji ulio kaskazini ya Betheli, kwenye njia kuu itokayo Betheli kwenda Shekemu, ilikuwa inakaribia.

Waamuzi 21

Waamuzi 21:13-25