Waamuzi 20:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Mimi nikachukua maiti yake, nikamkatakata vipandevipande na kuvipeleka kwa makabila yote ya Israeli, maana wamefanya jambo la kuchukiza na potovu katika Israeli.

Waamuzi 20

Waamuzi 20:2-15