Waamuzi 20:39 Biblia Habari Njema (BHN)

basi, waushambulie mji. Wakati huo, watu wa kabila la Benyamini walikuwa tayari wameua watu wapatao thelathini wa Israeli na kuambiana, “Tumewapiga kama hapo awali.”

Waamuzi 20

Waamuzi 20:29-45