Waamuzi 20:32 Biblia Habari Njema (BHN)

Watu wa Benyamini wakafikiri, “Tumewapiga kama nyakati zilizopita.” Lakini Waisraeli wakasema, “Sisi tukimbie ili tuwavute mbali na mji hadi kwenye njia kuu.”

Waamuzi 20

Waamuzi 20:28-37