Waamuzi 20:30 Biblia Habari Njema (BHN)

Waisraeli wakaenda kupigana na watu wa kabila la Benyamini katika siku ya tatu. Wakajipanga dhidi ya mji wa Gibea kama walivyofanya nyakati za hapo awali.

Waamuzi 20

Waamuzi 20:26-37