Waamuzi 20:26 Biblia Habari Njema (BHN)

Watu wote wa jeshi la Waisraeli wakaenda Betheli. Walikaa huko mbele ya Mwenyezi-Mungu wakiomboleza na kufunga mpaka jioni. Wakamtolea Mwenyezi-Mungu sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani.

Waamuzi 20

Waamuzi 20:20-35