Waamuzi 2:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Kila walipokwenda kupigana, mkono wa Mwenyezi-Mungu uliwakabili kuwaletea balaa, kama alivyokuwa amewaonya na kuapa. Nao wakawa katika huzuni kubwa.

Waamuzi 2

Waamuzi 2:7-23