Waamuzi 19:30 Biblia Habari Njema (BHN)

Wale wote walioona jambo hilo wakasema, “Jambo kama hili halijawahi kutukia wala kuonekana tangu siku ile Waisraeli walipotoka nchini Misri mpaka leo. Tulifikirie, tushauriane na kuamua.”

Waamuzi 19

Waamuzi 19:25-30