Waamuzi 18:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Wao wakasema, “Inukeni twende na kuishambulia nchi hiyo. Tumeiona nchi hiyo, na kweli ni nchi yenye rutuba. Je, mtakaa hapa tu bila kufanya kitu? Msikawie kwenda kuimiliki nchi hiyo.

Waamuzi 18

Waamuzi 18:5-13