Waamuzi 18:14 Biblia Habari Njema (BHN)

Watu wale watano waliokwenda kuipeleleza nchi ya Laishi wakawaambia ndugu zao, “Je, mnajua kwamba katika nyumba mojawapo ya hizi kuna kizibao, kinyago na sanamu ya kusubu? Basi, fikirini namna ya kufanya.”

Waamuzi 18

Waamuzi 18:6-22