Waamuzi 16:25 Biblia Habari Njema (BHN)

Walipojawa na furaha sana mioyoni mwao, wakasema, “Mleteni Samsoni atutumbuize.” Basi wakamtoa Samsoni gerezani, wakamleta naye akawatumbuiza. Wakamweka katikati ya nguzo.

Waamuzi 16

Waamuzi 16:19-31