Waamuzi 16:23 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakuu wa Wafilisti walikusanyika ili kusherehekea na kumtolea tambiko mungu wao aitwaye Dagoni. Basi, wakawa wanaimba, “Mungu wetu amemtia mikononi mwetu adui yetu Samsoni.”

Waamuzi 16

Waamuzi 16:16-27