Waamuzi 16:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Wafilisti walimkamata, wakamngoa macho, wakampeleka Gaza, wakamfunga kwa pingu za shaba, na kumlazimisha kufanya kazi ya kusaga unga huko gerezani.

Waamuzi 16

Waamuzi 16:18-27