Waamuzi 15:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Mungu akafungua mahali palipokuwa na shimo huko Leki, akatiririsha maji. Samsoni akanywa maji hayo na nguvu zake zikamrudia. Chemchemi hiyo ikaitwa En-hakore; nayo iko huko Lehi mpaka leo.

Waamuzi 15

Waamuzi 15:13-20