Waamuzi 14:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, roho ya Mwenyezi-Mungu ikamwingia Samsoni kwa nguvu, akamrarua simba huyo kama mtu araruavyo mwanambuzi. Naye Samsoni hakuwaambia wazazi wake kisa hicho.

Waamuzi 14

Waamuzi 14:5-13