Waamuzi 14:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Siku hiyo ya saba, kabla ya jua kutua, wakamwambia Samsoni,“Ni kitu gani kitamu kuliko asali?Ni nani mwenye nguvu kuliko simba?”Samsoni akawajibu, “Kama hamngejishughulisha na mtamba wangu hamngeweza kukitegua kitendawili changu.”

Waamuzi 14

Waamuzi 14:13-19