Waamuzi 13:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Mwanamke huyo akaenda kumwambia mume wake, “Mtu wa Mungu ambaye sura yake ilikuwa kama ya malaika wa Mungu alinijia. Sikumwuliza alikotoka wala hakuniambia jina lake.

Waamuzi 13

Waamuzi 13:3-14