Waamuzi 12:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Yeftha akawaambia, “Mimi pamoja na watu wangu tulikuwa na uadui mkubwa na Waamoni. Niliwaombeni mnisaidie lakini hamkuja kuniokoa.

Waamuzi 12

Waamuzi 12:1-8