Waamuzi 11:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Yeftha akawaambia hao wazee wa Gileadi, “Kama mkinirudisha nyumbani kupigana na Waamoni halafu Mwenyezi-Mungu akawatia mikononi mwangu, mimi nitakuwa kiongozi wenu.”

Waamuzi 11

Waamuzi 11:1-19