Waamuzi 11:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini Yeftha akawaambia hao wazee wa Gileadi, “Je, si mlinichukia hata mkanifukuza kutoka kwa jamaa ya baba yangu? Kwa nini mnanijia sasa mkiwa katika taabu?”

Waamuzi 11

Waamuzi 11:2-16