Waamuzi 11:37 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha, akamwambia baba yake, “Nakuomba jambo hili moja, nipatie muda wa miezi miwili, niende na rafiki zangu milimani, niomboleze kufariki kwangu kabla ya kuolewa.”

Waamuzi 11

Waamuzi 11:35-40