Waamuzi 11:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Naye Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli, akamtia Sihoni pamoja na watu wake mikononi mwa Waisraeli, wakawashinda. Hivyo Waisraeli wakachukua nchi yote ya Waamori ambao walikuwa wanaishi huko.

Waamuzi 11

Waamuzi 11:15-31