Waamuzi 1:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Adoni-bezeki akasema, “Wafalme sabini waliokatwa vidole gumba vya mikono na miguu waliokota makombo chini ya meza yangu. Sasa Mungu amenilipa kama nilivyotenda.” Wakampeleka Yerusalemu, akafia huko.

Waamuzi 1

Waamuzi 1:1-15