Ufunuo 9:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Nzige hao hawakuruhusiwa kuwaua watu, ila kuwatesa tu kwa muda wa miezi mitano. Maumivu watakayosababisha ni kama maumivu yanayompata mtu wakati anapoumwa na nge.

Ufunuo 9

Ufunuo 9:1-13