Ufunuo 9:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha, malaika wa sita akapiga tarumbeta yake. Nami nikasikia sauti moja kutoka katika pembe nne za madhabahu ya dhahabu iliyokuwa mbele ya Mungu.

Ufunuo 9

Ufunuo 9:4-14