Ufunuo 6:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Mimi nikatazama, na kumbe palikuwa na farasi mmoja mweupe hapo. Na mpandafarasi wake alikuwa na upinde, akapewa na taji. Basi, akatoka kama mshindi, aendelee kushinda.

Ufunuo 6

Ufunuo 6:1-6