Ufunuo 6:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha nikatazama, na wakati Mwanakondoo alipouvunja mhuri wa sita, kukawa na tetemeko kubwa la ardhi; jua likawa jeusi kama gunia la manyoya; mwezi wote ukawa mwekundu kama damu;

Ufunuo 6

Ufunuo 6:10-15