Ufunuo 6:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, wakalia kwa sauti kubwa: “Ee Bwana, uliye mtakatifu na mwaminifu, mpaka lini utakawia kulipiza kisasi kwa wakazi wote wa dunia kwa ajili ya kuuawa kwetu?”

Ufunuo 6

Ufunuo 6:7-12