Ufunuo 4:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Kila mara viumbe hao wanne walipomtukuza na kumheshimu na kumshukuru huyo aliyeketi juu ya kiti cha enzi ambaye anaishi milele na milele,

Ufunuo 4

Ufunuo 4:8-11