Ufunuo 4:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Kiumbe wa kwanza alikuwa kama simba, wa pili kama ng'ombe, wa tatu alikuwa na sura ya mtu, na wa nne alikuwa kama tai anayeruka.

Ufunuo 4

Ufunuo 4:3-11