Ufunuo 3:7 Biblia Habari Njema (BHN)

“Kwa malaika wa kanisa la Filadelfia andika hivi:“Mimi niliye mtakatifu na wa kweli, ambaye nina ule ufunguo wa Daudi na ambaye hufungua na hakuna awezaye kufunga, hufunga na hakuna awezaye kufungua.

Ufunuo 3

Ufunuo 3:2-17