Ufunuo 22:14 Biblia Habari Njema (BHN)

Heri yao wale wanaoosha mavazi yao, wapate kuwa na haki ya kula tunda la mti wa uhai, na haki ya kuingia mjini kwa kupitia milango yake.

Ufunuo 22

Ufunuo 22:4-21