Ufunuo 22:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa sasa anayetenda mabaya na aendelee kutenda mabaya, na aliye mchafu aendelee kuwa mchafu. Mwenye kutenda mema na azidi kutenda mema, na aliye mtakatifu na azidi kuwa mtakatifu.”

Ufunuo 22

Ufunuo 22:1-20