Ufunuo 20:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Wameneemeka sana, tena heri yao wote wanaoshiriki ufufuo huu wa kwanza. Kifo cha pili hakitakuwa na nguvu juu yao; watakuwa makuhani wa Mungu na wa Kristo, na watatawala pamoja naye kwa miaka 1,000.

Ufunuo 20

Ufunuo 20:1-11