Ufunuo 20:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Bahari ikawatoa nje wafu waliokuwa ndani yake; Kifo na Kuzimu vikawatoa nje wafu waliokuwa ndani yao. Kila mmoja akahukumiwa kufuatana na matendo yake.

Ufunuo 20

Ufunuo 20:11-15