Ufunuo 20:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Naye Ibilisi aliyekuwa anawapotosha, akatupwa ndani ya ziwa linalowaka madini ya kiberiti, walimo yule mnyama na yule nabii wa uongo, nao watateswa mchana na usiku, milele na milele.

Ufunuo 20

Ufunuo 20:8-15