Ufunuo 19:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha malaika akaniambia, “Andika haya: Heri wale walioalikwa kwenye karamu ya harusi ya Mwanakondoo!” Tena akaniambia, “Hayo ni maneno ya kweli ya Mungu.”

Ufunuo 19

Ufunuo 19:6-14