Ufunuo 19:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Na wale wazee ishirini na wanne, na wale viumbe hai wanne, wakajitupa chini, wakamwabudu Mungu aliyeketi juu ya kiti cha enzi wakisema, “Amina! Asifiwe Mungu!”

Ufunuo 19

Ufunuo 19:1-14