Ufunuo 19:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Maana hukumu yake ni ya kweli na ya haki. Amemhukumu yule mzinzi mkuu ambaye alikuwa ameipotosha dunia kwa uzinzi wake. Amemwadhibu kwa sababu ya kumwaga damu ya watumishi wake!”

Ufunuo 19

Ufunuo 19:1-3