Ufunuo 17:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Kati ya hao wafalme saba, watano wamekwisha angamia, mmoja anatawala bado na yule mwingine bado hajafika; na atakapofika atabaki kwa muda mfupi.

Ufunuo 17

Ufunuo 17:7-17