Ufunuo 17:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Mmoja wa wale malaika saba waliokuwa na bakuli akaja, akaniambia, “Njoo, nami nitakuonesha adhabu aliyopewa yule mzinzi mkuu, mji ule uliojengwa juu ya maji mengi.

Ufunuo 17

Ufunuo 17:1-7