Ufunuo 16:17 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha, malaika wa saba akamwaga bakuli lake hewani. Sauti kubwa ikasikika kutoka kwenye kiti cha enzi, hekaluni, ikisema, “Imetendeka!”

Ufunuo 16

Ufunuo 16:12-20