Ufunuo 16:14 Biblia Habari Njema (BHN)

Hawa ndio roho za pepo wafanyao miujiza. Ndio wanaokwenda kwa wafalme wa ulimwengu wote na kuwakusanya pamoja kwa ajili ya vita ya ile siku kubwa ya Mungu Mwenye Nguvu.

Ufunuo 16

Ufunuo 16:4-16