Ufunuo 16:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha, malaika wa sita akamwaga bakuli lake juu ya mto mkubwa uitwao Eufrate. Maji yake yakakauka, na hivyo njia ikawekwa kwa ajili ya wafalme kutoka mashariki.

Ufunuo 16

Ufunuo 16:2-16