Ufunuo 16:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha, malaika wa tano akamwaga bakuli lake juu ya makao makuu ya yule mnyama. Giza likauvamia utawala wake, watu wakauma ndimi zao kwa sababu ya maumivu,

Ufunuo 16

Ufunuo 16:9-17