Ufunuo 13:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Wote waishio duniani watamwabudu isipokuwa tu wale ambao majina yao yameandikwa tangu mwanzo wa ulimwengu katika kitabu cha uhai cha Mwanakondoo aliyechinjwa.

Ufunuo 13

Ufunuo 13:1-15